RAHA, KARAHA ZA WASANII KATIKA ‘AWAMU YA TANO’

Miaka mitano ya Rais John Pombe Joseph Magufuli inaisha Jumatano. Ni siku tano tu toka hii leo. Tutatangaziwa rais atakayeunda serikali mpya. Suala la mitano tena au mitano kwanza, liko mikononi mwa wapiga kura wa nchi hii. Yes!